NI RAHISI KUJENGA DHAMANA YA UPENDO KWA MWANAMKE ALIYE HURU MOYONI KULIKO ALIYE FUNGWA NA MAUMIVU.
Ifahamike kwamba MAPOKEO YA UPENDO HUZALIWA NA MOYO na huko ndiko chemi chemi za FURAHA NA AMANI hububujika Mwanamke ndiye MTUNZAJI NA MLEZI WA MAPENZI na kwa tafsiri hiyo ili Mwanaume awe katika MAHUSIANO AMA NDOA imara anawajibika kumpata MWANAMKE ALIYE HURU MOYONI Mwanamke hawi mwongozaji wa UPENDO katika mahusiano na ndoa ikiwa mwanaume hayupo katika UHALISIA "pure" kwa sababu Mwanamke anakuwa kwenye PENZI kwa kufuata moyo wake, ila tu anaishi kwa kufuata uwajibikaji wa Mwanaume katika penzi lao, Mwanaume kama hujawa tayari kuwa na Mwanamke kwa malengo ya UHUSIANO ENDELEVU usijaribu kumfanya Mwanamke awekeze UPENDO WAKE KWAKO Ni hasara kwa Mwanaume kumfanya Mwanamke ampende halafu yeye yupo kwa mtazamo wa HAJA YA MWILI Kuna wakati Mwanamke ataamua kuondoka nawe utakuwa umemzoea ndipo utaamini kwamba;- HATA PAKA NYUMBANI AKIPOTEA UTAM-MISS JAPO ALIKUWA HAKAMATI PANYA Mazoea yana taabu wahenga walisema, hivyo usimdharau Mwanamke kwa kujua HANA UJANJA KWAKO kisa uliisha m...