KWA DUNIA TULIYOPO HAKUNA HAKIKA YA MTU KUWA NA MTU AMBAYE NDO KWANZA YEYE YUPO PEKE YAKE
Unaweza kujiuliza maswali mengi katika hili, lakini fahamu jambo moja;-
Ili mapenzi yakose maana ni pindi IMANI inapokuwa imetoweka, kila mtu awe mwanamke ama mwanaume anahitaji kuwa na UHUSIANO IMARA
Lakini lipo tatizo wengi hatujalijua, nalo ni;-
Bila kujua kwamba MAPENZI MENGI YANAJENGWA KWA FARAJA ZAIDI YA UHALISIA
Kwamba mtu anatoka alikotoka huku akiwa amejawa MAUMIVU baada ya kile alitarajia kukosekana, na anakuambia kuwa na UPENDO WA DHATI JUU YAKO huku ndani ya moyo wake bado kabeba mtu mwingine japo akitesekea FARAJA kwako.
Unataka kujua kwamba HAKUNA MTU AMBAYE NI SPECIAL zaidi kinacho yabeba mapenzi ni imani, fahamu hili;-
Sasa nafikiri umepata maana yangu na itakusaidia kutafuta wako mmoja na mkapendana na kujenga DHAMANA YA UPENDO ambao utawapeleka mbali, bila kuangalia KATOKA WAPI NA YEYE KUTOANGALIA UMETOKA WAPI 
Mapenzi ya kweli hayana sheria kwani ni MAPOKEO YA NAFSI 

Comments
Post a Comment