Pokea sms yangu iliyojaa utamu


 Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno 

laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama 
apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee 
salamu “UHALI GANI MPENZI?”
       *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Comments

Popular posts from this blog